Tarehe 02/12/2020 Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Ilemela waliapishwa na pia kufanya uchaguzi wa Mstahiki Meya na Naibu Meya ambapo Mstahiki Meya aliyechaguliwa ni Mhe. Renatus Mulunga na Naibu Meya ni Mhe. Manusura Lusigaliye
Wimbo maalum unaoelezea mafanikio na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Ilemela kwa kipindi cha miaka mitano, 2015-2020 ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Mhe. Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Mtunzi; Peter Msechu
Muimbaji; Peter Msechu
Mtayarishaji; Msechu Entertainment Ltd.
Haki Miliki ya wimbo; Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
Anuani ya Posta: 735 MWANZA
Simu: + 255 736 200910
Simu:
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa