• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA YATOLEWA KWA WALENGWA WA TASAF

Posted on: December 2nd, 2022

Walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) wametakiwa kuimarisha vikundi vyao kwa kubuni shughuli mbalimbali za uzalishaji ambazo zitaweza kuwaletea unafuu wa maisha.


Wito huo umetolewa na Bi Deograsia Lubuga ambae alimuwakilisha mratibu wa TASAF wakati walengwa hao wakipatiwa elimu juu ya matumizi ya fedha zitakazotolewa.

Aidha amewataka wanufaika wa mpango huu kutumia pesa zao kwa utaratibu mzuri wa kuwaletea manufaa na kutahadharisha kuwa lengo la mradi ni kunusuru kaya maskini hivyo jamii bado ina wahitaji wengi, wale waliopata nafasi ya kuwa walengwa wasilemae katika kufanya chochote kitakachowainua kiuchumi.


“Huu ni mradi wa kunusuru kaya maskini ambao huwa tunafanya kwa kipindi cha miaka mitatu mitatu,wahitaji ni wengi mno ndani ya jamii yetu,nyinyi ambao tayari ni walengwa wa mradi mnapaswa kutumia kipindi chenu vizuri kwa kujiwekeza kidogokidogo kwa kadri mnavyopata angalau kuhakikisha una kitu cha kukusogeza kimaisha.” Amesema Bi.Deograsia


Elimu mbalimbali zimetolewa ikiwemo kuhusiana na ajira za muda na uendelezaji wa miundo mbinu imetolewa pia kwani lengo la miradi hii ni kuongeza kipato na ujuzi kwa walengwa wanaojiweza kwa maana ya kuwa na uwezo wa kufanya kazi mbalimbali za kuendeleza miundo mbinu ya jamii kama vile barabara ,madarasa na hifadhi ya mazingira.

Esta Malucha Shigela ni mmoja wa wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini Ilemela katika mtaa wa Bujingwa ndani ya kata ya Buswelu anasema toka aingie kwenye mpango anaona utofauti wa maisha aliyokuwa nayo awali na sasa hivyo ameishukuru serikali kwa kuwawezesha wahitaji.


Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela inaendelea na zoezi la uhawilishaji fedha kwa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kwa kipindi cha Septemba-Octoba 2022 ambapo jumla ya shilingi za kitanzania 302. 89 zinatarajiwa kutolewa kwa kaya 5843 zinazopatikana ndani ya kata 19 za Manispaa ya Ilemela.

Announcements

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022 SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI MANISPAA YA ILEMELA January 29, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA September 30, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KATIKA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA 2022 October 11, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 December 01, 2022
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ILEMELA YAKIDHI VIGEZO VYA KUTEKELEZA MIRADI MINNE

    January 19, 2023
  • ELIMU YA MATUMIZI BORA YA FEDHA YATOLEWA KWA WANUFAIKA WA MKOPO WA ASILIMIA 10

    January 18, 2023
  • DC ILEMELA APIGA MARUFUKU MICHANGO KIDATO CHA KWANZA

    January 17, 2023
  • MKUU WA MKOA WA MWANZA AIPONGEZA ILEMELA UKAMILISHAJI WA VYUMBA VYA MADARASA

    December 22, 2022
  • Tazama zaidi

Video

SHULE YA SEKONDARI BUZURUGA ILIYOJENGWA KWA FEDHA ZA SEQUIP
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.