• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Jamii yaaswa kuacha kuwaficha watoto wenye ulemavu

Posted on: July 7th, 2022

Na Paschalia George- Ilemela


Jamii ya Ilemela imeaswa kuacha kuwaficha watoto wenye ulemavu kwa kuzingatia haki ya wao kupata elimu na huduma za msingi sambamba na kuchangamana na wenzao ili kuboresha afya zao za mwili na akili.

Hayo yamesemwa na Afisa elimu wa elimu maalum Ilemela Bi. Sarah Ulimboka wakati akipokea jumla ya viti mwendo “ wheel chairs” 8 vyenye thamani ya shilingi milioni 8.1 kwa ajili ya watoto waliopo shule zinazotoa elimu maalum Ilemela kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali “ Determined Education and Rural Empowerment” DERE na Walkabout Foundation yanayofanya shughuli zake ndani ya Mkoa wa Mwanza.

“Ni jukumu letu sisi jamii nzima kuwalinda na kuwapenda watu wenye mahitaji maalum. Manispaa ya Ilemela inakaribisha wadau zaidi katika kuunga mkono juhudi za serikali kuwajali na kuwaboreshea mazingira watu hawa.Tunajua wanapitia changamoto nyingi katika kuishi kwao kutokana na ulemavu wa viungo vyao ,mimi na wewe tuwe sehemu ya kuwarahisishia maisha yao kwa namna mbalimbali tuwezavyo.” Amesema Sarah.

Nae Mkurugenzi wa shirika la DERE ndugu Jacob Odiwa amesema shirika lina furaha kuendelea kutoa huduma hizo kwa wahitaji japo hadi sasa mahitaji bado ni makubwa sana,walemavu wengi bado hawajafikiwa na huduma hizi kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na wengi wao kufichwa majumbani.

“ Shirika letu la DERE linahusika na utoaji wa huduma mbalimbali wezeshi kwa watu  wenye ulewamavu wa viungo.Tutaendelea kushirikiana na Halmashauri katika kuboresha mazingira mazuri ya watu hawa kwa kutoa vifaa au vitu mbalimbali kama viti mwendo vitakavyowasaidia katika maisha yao ya kila siku kadri ya uwezo wetu.” Amesema Mkurugenzi Odiwa

Ayubu Gwanchele Ngonzela (14) ni mwanafunzi katika shule ya msingi Nyamwilokelwa ,anasema anashukuru kwa kiti mwendo alichopewa ambacho kimempa matumaini mapya katika changamoto yake ya kutembea na anaamini atafanya vizuri zaidi katika masomo yake.

“ Hata sisi hatukupenda kuwa na watoto walemavu lakini Mungu ametupa,ni wajibu wetu kuwapenda na kuwajali .Nawasihi wazazi wenzangu wenye watoto wenye changamoto kama hizi msiwafiche maana mnawakosesha fursa nyingi.Wapo walemavu ambao wanafanya vitu vikubwa vya kustaajabisha jamii.Nawashukuru sana kwa mwanangu kupata baiskeli kwani itamrahisishia mizunguko yake ya hapa na pale.Mungu awabariki sana” Amesema Sophia Charles mzazi wa Ayubu.

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • WATOTO WAMETAKIWA KUTOA TAARIFA ZA UNYANYASAJI WANAOFANYIWA

    June 16, 2025
  • MHE MASALA ASISITIZA HAMASA YA LISHE SHULENI

    June 04, 2025
  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.