Posted on: January 15th, 2025
Watendaji wa kata na mitaa wa halmashauri ya manispaa ya Ilemela, wametakiwa kuhakikisha wanasimamia suala zima la ukusanyaji wa mapato katika maeneo yao ya utawalaili kuhakikisha halmashauri inafikia...
Posted on: December 31st, 2024
Katika kutekeleza shughuli za mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF inaunga mkono juhudi za serikali katika kutekeleza mkakati wa taifa unaolenga matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi wake ...
Posted on: December 30th, 2024
Watumishi wa Umma ngazi ya watendaji wa mitaa na kata ndani ya manispaa ya Ilemela wamejengewa uwezo kwa kupata mafunzo yatakayowasaidia kufanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu ili kutoa h...